Wakristo
Namna gani wafuasi wa Yesu walifikia kujulikana kuwa Wakristo?
Nini njo inatambulishaka Wakristo wa kweli?
Ni kupitia nani njo Wakristo wa kweli wanapata wokovu?
Ona pia Mdo 5:30, 31; Ro 6:23
Juu ya nini Wakristo wanakubali Yesu kuwa Mufalme wao mbinguni?
Juu ya nini Wakristo wa kweli wanakatalaka kujiingiza mu mambo ya hii ulimwengu?
Juu ya nini Wakristo wa kweli wanakuwaka natii serikali?
Ro 13:1, 6, 7; Tit 3:1; 1Pe 2:13, 14
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Mt 22:15-22—Yesu anaonyesha juu ya nini wafwasi wake wanapaswa kulipa kodi
-
Mdo 4:19, 20; 5:27-29—Wakristo wa kweli wanaonyesha kama utii wao kwa serikali uko na mipaka
-
Ni mu njia gani Wakristo wako sawa vile maaskari?
Ona pia Efe 6:12, 13; 1Ti 1:18
Juu ya nini Wakristo wanapaswa kuishi kulingana na mambo yenye wanaamini?
Ona pia Efe 4:17, 19-24; Yak 3:13
-
Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:
-
Mdo 9:1, 2; 19:9, 23—Ibada ya Wakristo iko sawa vile “Njia,” njia yenye inaongoza kwenye uzima
-
Juu ya nini Wakristo wa kweli wanapaswa kuwa mashahidi wa Yehova Mungu?
Isa 43:10, 12; Yoh 17:6, 26; Ro 15:5, 6; Ufu 3:14
Ona pia Ebr 13:15
Juu ya nini Wakristo wa kweli wanapaswa kuwa pia mashahidi wa Yesu Kristo?
Mdo 1:8; 5:42; 10:40-42; 18:5; Ufu 12:17
Ona pia Mdo 5:30, 32; 13:31
Juu ya nini Wakristo wote wa kweli wanapaswa kuwa wahubiri wa habari njema?
Wakristo wanajisikiaka namna gani wakati wanawatesa?
Ona “Mateso”
Wakristo wote wa kweli wako na tumaini ya kuenda kuishi mbinguni pamoya na Yesu Kristo?
Ona pia 1Pe 1:3, 4
Wakristo wengi wa kweli wako na tumaini gani?
Mu madini yote yenye kujiita kuwa ya Kikristo munakuwaka wakristo wa kweli?
Wale wote wenye kujiita kuwa Wakristo ni wanafunzi wa Yesu kabisa?
Mt 7:21-23; Ro 16:17, 18; 2Ko 11:13-15; 2Pe 2:1
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Mt 13:24-30, 36-43—Yesu analeta mufano juu ya kuonyesha kama kutakuwa Wakristo wa uongo
-
2Ko 11:24-26—Mutume Paulo anataya liste ya “Ndugu wa uongo” kati ya hatari zenye alipata
-
1Yo 2:18, 19—Mutume Yohana anaonya kama “wapinga-kristo wengi” tayari walishaacha kweli
-