Faraja
Faraja katika Maandiko inayotusaidia kushinda baadhi ya mambo yanayosababisha tuvunjike moyo
Hisia kali za kuwa na hatia
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
2Fa 22:8-13; 23:1-3—Baada ya Sheria ya Musa kusomwa kwa sauti, Mfalme Yosia na raia wake wanatambua kwamba wana hatia kubwa
Ezr 9:10-15; 10:1-4—Kuhani Ezra na watu wengine wana hisia kali za hatia kwa sababu baadhi yao wamekosa kumtii Yehova na kuoa wanawake wa kigeni
Lu 22:54-62—Mtume Petro anahisi hatia na kuhuzunika sana baada ya kukana mara tatu kwamba hamjui Yesu
-
Maandiko yenye kufariji:
-
Tazama pia Isa 38:17; Mik 7:18, 19
-
Masimulizi ya Biblia yenye kufariji:
-
2Nya 33:9-13, 15, 16—Manase ni miongoni mwa wafalme wabaya zaidi wa Yuda; hata hivyo, anatubu na kupata rehema
-
-
Lu 15:11-32—Yesu anasimulia mfano wa mwana mpotevu kuonyesha jinsi Yehova alivyo tayari kusamehe kabisa
-
Kuhisi hatufai tunapokabili tatizo tunaloshindwa kusuluhisha au mgawo mgumu
-
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
-
Kut 3:11; 4:10—Nabii Musa anahisi hafai au hastahili anapoambiwa aende kukutana na Farao ili awatoe watu wa Mungu kutoka Misri
Yer 1:4-6—Yeremia anahisi yeye ni kijana sana na hana uzoefu wa kutumikia akiwa nabii wa Yehova kwa watu wenye kiburi
-
Maandiko yenye kufariji:
-
Masimulizi ya Biblia yenye kufariji:
-
Kut 3:12; 4:11, 12—Kwa subira, Yehova anamhakikishia nabii Musa kwamba atamsaidia katika mgawo wake
-
Yer 1:7-10—Yehova anamhakikishia nabii Yeremia kwamba atamsaidia kukabiliana na changamoto zitakazotokea
-
-
Kukata tamaa kwa sababu ya udhaifu na dhambi zetu
-
Tazama “Kukata Tamaa”
-
Kukata tamaa wengine wanapotuvunja moyo, wanapotuumiza, au hata kutusaliti
-
Tazama “Kukata Tamaa”
Kutoweza kufanya mengi kwa sababu ya ugonjwa au umri mkubwa
-
-
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
-
2Fa 20:1-3—Mfalme Hezekia analia sana kwa sababu amepata ugonjwa mbaya ambao ungemsababishia kifo
-
Flp 2:25-30—Epafrodito ameshuka moyo kwa sababu kutaniko limesikia kwamba anaumwa na ana wasiwasi kuwa wanaweza kuhisi ameshindwa kutimiza mgawo wake
-
-
Maandiko yenye kufariji:
-
Masimulizi ya Biblia yenye kufariji:
-
2Sa 17:27-29; 19:31-38—Mzee mshikamanifu Barzilai anapewa mgawo wa heshima kubwa, lakini kwa kuwa ana sifa ya kiasi anaukataa kwa sababu anahisi kwamba ana umri mkubwa na hawezi kutimiza mgawo huo
-
Zb 41:1-3, 12—Mfalme Daudi alipokuwa mgonjwa sana, alikuwa na uhakika kwamba Yehova angemtegemeza
-
Mk 12:41-44—Yesu anamsifu mjane maskini kwa mchango wake kwa sababu alitoa kila kitu alichokuwa nacho
-
Mahangaiko
Tazama “Mahangaiko”
Mateso
Tazama “Mateso”
Maumivu ya kihisia ya muda mrefu kwa sababu ya kutendewa kwa njia isiyofaa na wengine
Tazama “Kutendewa kwa Njia Isiyofaa”
Shaka kuhusu thamani yetu
-
Tazama “Shaka”
-
Uchungu; kuweka kinyongo
-
Baadhi ya watu wana uchungu kwa sababu ya matatizo mengi wanayokabili au ukosefu wa haki
-
-
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
Maandiko yenye kufariji:
Masimulizi ya Biblia yenye kufariji:
Ru 1:6, 7, 16-18; 2:2, 19, 20; 3:1; 4:14-16—Naomi anakuwa na furaha tena baada ya kurudi kwa watu wa Mungu, kukubali msaada wao, na kuwasaidia wengine
-
Ayu 42:7-16; Yak 5:11—Ayubu anavumilia kwa imani, na Yehova anambariki sana
-
Wengine wanakuwa na uchungu kwa sababu ya matendo yasiyo ya fadhili ya watu wengine
-
-
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
-
1Sa 1:6, 7, 10, 13-16—Hana anaumia sana moyoni kwa sababu ya matendo yasiyo ya fadhili ya Penina na kuhukumiwa vibaya na Kuhani Mkuu Eli
-
-
Ayu 8:3-6; 16:1-5; 19:2, 3—Wafariji watatu wa uwongo wa Ayubu ni waadilifu kupita kiasi na wanamshutumu isivyo haki, na kufanya Ayubu ahisi vibaya zaidi
-
Maandiko yenye kufariji:
-
Masimulizi ya Biblia yenye kufariji:
-
1Sa 1:9-11, 18—Hana alihisi vizuri baada ya kummiminia Yehova moyo wake
Ayu 42:7, 8, 10, 17—Baada ya Ayubu kuonyesha roho ya kusamehe, Yehova anamrudishia afya nzuri na furaha yake
Wivu; husuda
Tazama “Wivu”
Woga usiofaa; Hofu
Tazama “Woga”