Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitulizo

Kitulizo

Maandiko ya Biblia ya kututuliza mu hali fulani zenye kuvunja moyo

Uchungu

Ona “Mahangaiko

Kinyongo

Watu fulani wako na uchungu juu ya magumu

Muh 9:​11, 12

Ona pia Zb 142:4; Muh 4:1; 7:7

Watu fulani wako na uchungu juu wengine wamewatendea mubaya

Muh 4:​1, 2

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

  • Maandiko yenye kutia moyo:

  • Habari za Biblia zenye kutia moyo:

    • 1Sa 1:​9-11, 18—Hana anapata kitulizo kisha kumufungulia Yehova moyo wake

    • Yob 42:​7, 8, 10, 17—Kisha Yobu kusamehe marafiki wake wa uongo, Yehova anafanya akuwe tena na afya ya muzuri na akuwe tena na furaha

Kujihukumu kupita kiasi

Ezr 9:6; Zb 38:​3, 4, 8; 40:12

Kuhuzunika wakati wengine wanakatala kututegemeza, wanatuumiza, ao hata kutusaliti

Ona “Huzuni

Kuhuzunika juu ya makosa na zambi zetu

Ona “Huzuni

Kujiona kuwa hatuko wa maana

Ona “Mashaka

Kuwaza kama hatutamaliza tatizo fulani ao kutimiza mugao fulani

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Kut 3:11; 4:10—Musa anawaza kama hataweza kukutana na Farao na kuongoza watu wa Mungu kutoka Misri

    • Yer 1:​4-6—Yeremia anawaza kama angali kijana sana na kama hataweza kuwa nabii wa Yehova kwa watu wenye kuwa na mioyo migumu

  • Maandiko yenye kutia moyo:

  • Habari za Biblia zenye kutia moyo:

    • Kut 3:12; 4:​11, 12—Kwa uvumilivu, Yehova anahakikishia nabii Musa kama atamusaidia mu mugao wake

    • Yer 1:​7-10—Yehova anahakikishia nabii Yeremia kama atamusaidia mu migao yake ya nguvu

Wivu

Ona “Wivu

Mipaka yenye inatokana na magonjwa ao uzee

Zb 71:​9, 18; Muh 12:​1-7

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 2Fa 20:​1-3—Mufalme Hezekia anasikia mubaya sana juu anagonjwa karibu akufe

    • Flp 2:​25-30—Epafrodito anasikia mubaya sana juu kutaniko inajua kama iko mugonjwa; ile inafanya aogope kuwa watawaza kama anashindwa kutimiza mugao wake

  • Maandiko yenye kutia moyo:

  • Habari za Biblia zenye kutia moyo:

    • 2Sa 17:​27-29; 19:​31-38—Mufalme anamuheshimia sana Barzilai na kumuomba aende Yerusalemu. Lakini, kwa kiasi Barzilai anakatala ile Mwaliko juu alikuwa alishazeeka sana

    • Zb 41:​1-3, 12—Daudi anagonjwa sana, lakini iko hakika kama Yehova atamutegemeza

    • Mk 12:​41-44—Yesu anapongeza mujane maskini juu ya muchango yake, juu anatoa yote yenye iko nayo

Kuhuzunika kwa wakati murefu juu ya kutendewa mubaya na wengine

Ona “Kutendewa Mubaya

Woga wa nguvu

Ona “Woga

Mateso

Ona “Mateso