Uhakika Katika Yehova
Met 3:5, 21-26; Isa 26:3, 4; Yer 17:7, 8
Tazama pia Zb 34:8; 40:4, 5; Met 20:22; Isa 30:15
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
1Nya 5:18-20, 22—Baadhi ya makabila ya Israeli yanapata mafanikio katika vita kwa sababu yanamtumaini Yehova
2Nya 14:9-13—Anapokabili maadui wanaokaribia kumshinda, Mfalme Asa anasali kwa Yehova na kuonyesha kwamba anamtumaini kabisa Mungu wake