Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Uhakika Katika Yehova

Uhakika Katika Yehova

Met 3:​5, 21-26; Isa 26:​3, 4; Yer 17:​7, 8

Tazama pia Zb 34:8; 40:​4, 5; Met 20:22; Isa 30:15

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 1Nya 5:​18-20, 22—Baadhi ya makabila ya Israeli yanapata mafanikio katika vita kwa sababu yanamtumaini Yehova

    • 2Nya 14:​9-13—Anapokabili maadui wanaokaribia kumshinda, Mfalme Asa anasali kwa Yehova na kuonyesha kwamba anamtumaini kabisa Mungu wake