Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Maamuzi

Maamuzi

Tunawezaje kutayarisha akili na moyo wetu ili tufanye maamuzi mazuri?

Kwa nini hatupaswi kufanya maamuzi muhimu haraka-haraka?

Kwa nini tunapaswa kuepuka kuutegemea moyo wetu usio mkamilifu tunapofanya maamuzi?

Met 28:26; Yer 17:9

Tazama pia Hes 15:39; Met 14:12; Mhu 11:​9, 10

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • 2Nya 35:​20-24—Mfalme mzuri Yosia anakataa ushauri unaotoka kwa Yehova na kupigana na Farao Neko

Kwa nini ni muhimu kusali kabla ya kufanya maamuzi mazito?

Flp 4:​6, 7; Yak 1:​5, 6

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Lu 6:​12-16—Yesu anasali usiku wote kabla ya kuwachagua mitume 12

    • 2Fa 19:​10-20, 35—Anapokabili tishio kubwa, Mfalme Hezekia anasali kwa Yehova na anaokolewa

Ni nani aliye Chanzo bora cha mwongozo wa kufanya uamuzi, na anatusaidiaje kufanya maamuzi?

Zb 119:105; Met 3:​5, 6; 2Ti 3:​16, 17

Tazama pia Zb 19:7; Met 6:23; Isa 51:4

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Mdo 15:​13-18—Wanapohitaji kufanya uamuzi mkubwa, baraza linaloongoza lililo jijini Yerusalemu linategemea Maandiko ili kupata mwongozo

Maamuzi kuhusu:

Ajira

Tazama “Kazi

Burudani

Tazama “Burudani

Kutumia wakati

Tazama pia Ro 12:11

Malengo ya kiroho

Mt 6:33; Lu 14:​27-30; 18:​29, 30

Mambo yote maishani

Law 19:26; Kum 12:​16, 23; Lu 5:31; Mdo 15:​28, 29

Simulizi la Biblia linalohusika:

Mdo 19:​18-20—Wakristo jijini Efeso wanaonyesha kwamba hawataki tena kufanya uchawi na mazoea ya kuwasiliana na roho

Ndoa

Tazama “Ndoa

Watumishi wakomavu wa Mungu wanawezaje kutusaidia kufanya maamuzi mazuri?

Ayu 12:12; Met 11:14; Ebr 5:14

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • 1Fa 1:​11-31, 51-53—Bath-sheba anasikiliza ushauri wa nabii Nathani, ambao unamwokoa yeye na mwana wake, Sulemani

Kwa nini hatupaswi kuwategemea wengine wafanye maamuzi kwa ajili yetu?

Kwa nini tunapaswa kuazimia kutumia ushauri wa Mungu badala ya kuupuuza?

Zb 18:​20-25; 141:5; Met 8:33

Tazama pia Lu 7:30

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 19:​12-14, 24, 25—Loti anajaribu kuwaonya wanaume ambao wangewaoa mabinti zake kuhusu uharibifu unaokaribia kuja, lakini wanaume hao wanampuuza

    • 2Fa 17:​5-17—Waisraeli wanapelekwa uhamishoni kwa sababu ya kuendelea kupuuza ushauri wa Yehova

Kwa nini tunapaswa kusikiliza dhamiri yetu kwa makini tunapofanya maamuzi?

Tunawezaje kunufaika ikiwa tutafikiria matokeo ya uamuzi wetu?

Uamuzi wetu unavyoweza kuwaathiri wengine

Uamuzi wetu unavyoathiri wakati wetu ujao

Uamuzi wetu unavyoathiri uhusiano wetu na Yehova

Kwa nini tunapaswa kuwajibika kutokana na maamuzi yetu?