Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Maamuzi

Maamuzi

Namna gani tunaweza kutayarisha akili na moyo wetu juu ya kukamata maamuzi ya muzuri?

Juu ya nini tunapaswa kuepuka kutenda haraka wakati tuko nakamata maamuzi ya maana?

Juu ya nini tunapaswa kuepuka kutegemea moyo wetu wenye haukamilike wakati tuko nakamata maamuzi?

Mez 28:26; Yer 17:9

Ona pia Hes 15:39; Mez 14:12; Muh 11:​9, 10

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • 2Ny 35:​20-24—Mufalme muzuri Yosia anakatala shauri yenye ilitoka kwa Yehova na anapigana na Farao Neko

Juu ya nini sala ni ya maana wakati tuko nakamata maamuzi mazito?

Flp 4:​6, 7; Yak 1:​5, 6

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Lu 6:​12-16—Yesu anasali usiku muzima mbele ya kuchagua mitume wake 12

    • 2Fa 19:​10-20, 35—Wakati anaogopeshwa sana, Mufalme Hezekia anasali kwa Yehova na Yehova anamuokoa

Nani njo anaweza kutuongoza muzuri wakati tunakamata maamuzi, na namna gani anatusaidiaka tukamate maamuzi?

Zb 119:105; Mez 3:​5, 6; 2Ti 3:​16, 17

Ona pia Zb 19:7; Mez 6:23; Isa 51:4

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Mdo 15:​13-18—Mbele ya kukamata uamuzi muzito, baraza yenye kuongoza mu Yerusalemu inatafuta muongozo wa Maandiko

Maamuzi kuhusu:

Mambo yote ya maisha

Kazi

Ona “Kazi

Kujifurahisha

Ona “Kujifurahisha

Ndoa

Ona “Ndoa

Matunzo

Law 19:26; Kum 12:​16, 23; Lu 5:31; Mdo 15:​28, 29

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Mdo 19:​18-20—Wakristo wa Efeso wanaonyesha kama hawatakuwa na uhusiano wowote na pepo wachafu na hawatajiingiza mu mambo ya uchawi

Miradi ya kiroho

Kutumia wakati

Namna gani watumishi wa Mungu wenye kukomala kiroho wanaweza kutusaidia kukamata maamuzi ya muzuri?

Yob 12:12; Mez 11:14; Ebr 5:14

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • 1Fa 1:​11-31, 51-53—Bat-sheba anasikiliza shauri ya nabii Natani na ile inamuokoa yeye na mutoto wake Sulemani

Juu ya nini hatupaswe kuomba wengine watukamatie maamuzi?

Juu ya nini tunapaswa kuazimia kutumikisha shauri ya Mungu na kuepuka kuizarau?

Zb 18:​20-25; 141:5; Mez 8:33

Ona pia Lu 7:30

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 19:​12-14, 24, 25—Loti anajaribu kuonya wanaume wenye wangeoa watoto wake kuhusu uharibifu wenye ulikuwa karibu kutokea, lakini wanakatala kusikia

    • 2Fa 17:​5-17—Waisraeli wanapelekwa mu uhamisho juu walizoea kuzarau mashauri ya Yehova

Juu ya nini tunapaswa kusikiliza kwa uangalifu zamiri yetu wakati tuko nakamata maamuzi?

Tutapata faida gani kama tunafikiria matokeo yenye uamuzi fulani unaweza kuleta?

Matokeo juu ya wengine

Matokeo juu ya maisha yetu ya kesho

Matokeo juu ya urafiki wetu pamoya na Yehova

Juu ya nini tunapaswa kujikamatia maamuzi siye wenyewe?