Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kukata Tamaa

Kukata Tamaa

Kukata tamaa wengine wanapotuvunja moyo, wanapotuumiza, au hata kutusaliti

Zb 55:​12-14; Lu 22:​21, 48

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 1Sa 8:​1-6—Waisraeli wanaposisitiza wawe na mfalme, nabii Samweli anaumia na kukatishwa tamaa

    • 1Sa 20:​30-34—Yonathani anaumia na kuaibika, wakati baba yake, Mfalme Sauli anapomkasirikia sana

  • Maandiko yenye kufariji:

  • Masimulizi ya Biblia yenye kufariji:

    • Zb 55:​12-14, 16-18, 22—Mfalme Daudi anamtupia Yehova mzigo wake, na kupata faraja anaposalitiwa na rafiki yake wa karibu Ahithofeli

    • 2Ti 4:​16-18—Mtume Paulo anapokuwa chini ya jaribu, anaachwa na wanadamu, lakini anapata nguvu kutoka kwa Yehova na kupitia tumaini ambalo Yehova anatoa

Kukata tamaa kwa sababu ya udhaifu na dhambi zetu

Ayu 14:4; Ro 3:23; 5:12

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Zb 51:​1-5—Mfalme Daudi anaumizwa sana na dhambi alizomfanyia Yehova

    • Ro 7:​19-24—Mtume Paulo amevunjika moyo sana kwa sababu anahitaji kupambana na mielekeo ya dhambi kwa ukawaida

  • Maandiko yenye kufariji:

  • Masimulizi ya Biblia yenye kufariji:

    • 1Fa 9:​2-5—Ingawa Mfalme Daudi alifanya baadhi ya dhambi nzito sana, Yehova anamkumbuka kuwa mtu mtimilifu

    • 1Ti 1:​12-16—Licha ya dhambi nzito alizofanya zamani, mtume Paulo ana uhakika kwamba ataonyeshwa rehema