Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kuhuzunika

Kuhuzunika

Kuhuzunika wakati wengine wanatuacha, wanatukosea, ao hata kutusaliti

Zb 55:12-14; Lu 22:21, 48

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 1Sa 8:1-6—Nabii Samweli anahuzunika wakati Waisraeli wanaomba wakuwe na mufalme

    • 1Sa 20:30-34—Yonatani anahuzunika na anajisikia mubaya wakati Mufalme Sauli, mwenye ni baba yake, anamukasirikia

  • Maandiko yenye kutia moyo:

  • Habari za Biblia zenye kutia moyo:

    • Zb 55:12-14, 16-18, 22—Hata kama Ahitofeli, rafiki yake wa karibu alimusaliti, Mufalme Daudi anamutupia Yehova muzigo na anapata kitulizo

    • 2Ti 4:16-18—Wakati Paulo iko mu magumu, watu wanamuacha, lakini kupitia Yehova na kupitia tumaini yenye anamupatia, anapata nguvu

Kuhuzunika juu ya uzaifu na zambi zetu

Yob 14:4; Ro 3:23; 5:12

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Zb 51:1-5—Mufalme Daudi anahuzunika sana juu ya zambi yenye alimufanyia Yehova

    • Ro 7:19-24—Mutume Paulo anahuzunika juu kila mara iko napiganisha muelekeo wake wa zambi

  • Maandiko yenye kutia moyo:

  • Habari za Biblia zenye kutia moyo:

    • 1Fa 9:2-5—Hata kama Mufalme Daudi alifanya zambi fulani kubwa sana, Yehova anamuona kuwa muaminifu-mushikamanifu

    • 1Ti 1:12-16—Hata kama alifanya zambi kubwa zamani, mutume Paulo iko hakika kama Yehova atamuonyesha rehema