Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kuvunjika Moyo

Kuvunjika Moyo

Kwa nini kuvunjika moyo ni hatari kwa watumishi wa Yehova?

Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba Yehova atatusaidia kukabiliana na mambo yanayotuvunja moyo?

Zb 23:​1-6; 113:​6-8; Isa 40:11; 41:​10, 13; 2Ko 1:​3, 4

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mt 11:​28-30—Yesu ambaye anaiga kikamilifu utu wa Baba yake, ni mwenye fadhili na anaburudisha

    • Mt 12:​15-21—Yesu anatimiza unabii unaopatikana kwenye Isaya 42:​1-4, kwa kuwatendea waliovunjika moyo kwa fadhili

Faraja katika Maandiko inayotusaidia kushinda baadhi ya mambo yanayosababisha tuvunjike moyo

Tazama “Faraja

Kwa nini tunapaswa kujitahidi kuwatia moyo wengine?

Mt 18:6; Efe 4:29

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Hes 32:​6-15—Wapelelezi kumi wasio na imani wanawavunja moyo Waisraeli, na taifa zima linateseka

    • 2Nya 15:​1-8—Ujumbe kutoka kwa Yehova unamsaidia Mfalme Asa apate ujasiri na kuondoa ibada ya sanamu katika nchi hiyo