Kuvunjika Moyo
Kwa nini kuvunjika moyo ni hatari kwa watumishi wa Yehova?
Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba Yehova atatusaidia kukabiliana na mambo yanayotuvunja moyo?
Zb 23:1-6; 113:6-8; Isa 40:11; 41:10, 13; 2Ko 1:3, 4
-
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
-
Mt 11:28-30—Yesu ambaye anaiga kikamilifu utu wa Baba yake, ni mwenye fadhili na anaburudisha
-
Mt 12:15-21—Yesu anatimiza unabii unaopatikana kwenye Isaya 42:1-4, kwa kuwatendea waliovunjika moyo kwa fadhili
-
Faraja katika Maandiko inayotusaidia kushinda baadhi ya mambo yanayosababisha tuvunjike moyo
Tazama “Faraja”
Kwa nini tunapaswa kujitahidi kuwatia moyo wengine?
-
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
-
Hes 32:6-15—Wapelelezi kumi wasio na imani wanawavunja moyo Waisraeli, na taifa zima linateseka
-
2Nya 15:1-8—Ujumbe kutoka kwa Yehova unamsaidia Mfalme Asa apate ujasiri na kuondoa ibada ya sanamu katika nchi hiyo
-