Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kuvunjika Moyo

Kuvunjika Moyo

Juu ya nini kuvunjika moyo ni hatari kwa watumishi wa Yehova?

Juu ya nini tunaweza kuwa hakika kama Yehova atatusaidia tupiganishe hali ya kuvunjika moyo?

Zb 23:​1-6; 113:​6-8; Isa 40:11; 41:​10, 13; 2Ko 1:​3, 4

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mt 11:​28-30—Yesu, mwenye aliiga kwa ukamili sifa za Baba yake, ni mwenye fazili na mwenye kuburudisha wengine

    • Mt 12:​15-21—Yesu anatimiza unabii wenye uko mu Isaya 42:​1-4, kwa kutendea wale wenye kuvunjika moyo kwa fazili

Kitulizo yenye inatoka mu maandiko juu ya sababu fulani zenye zinafanyaka mutu avunjike moyo

Ona “Kitulizo

Juu ya nini tunapaswa kujikaza kuwa natia wengine moyo?

Mt 18:6; Efe 4:29

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Hes 32:​6-15—Wapelelezi kumi wenye hawana na imani wanavunja Waisraeli moyo na ile inaletea taifa yote magumu

    • 2Ny 15:​1-8—Ujumbe kutoka kwa Yehova unamusaidia Mufalme Asa akuwe Hodari na apiganishe ibada ya sanamu mu inchi