Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kutengwa na Ushirika

Kutengwa na Ushirika

Kwa nini wazee Wakristo wanapaswa kuwa macho kuhusu kudumisha usafi wa kutaniko?

Mwenendo wa Mkristo mmoja unawezaje kuathiri kutaniko zima?

1Ko 5:​1, 2, 5, 6

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Yos 7:​1, 4-14, 20-26—Dhambi ya Akani, ambayo bila shaka familia yake inajua, inasababisha madhara makubwa kwa taifa zima

    • Yon 1:​1-16—Uasi wa nabii Yona unahatarisha uhai wa mabaharia waliosafiri pamoja naye katika meli

Ni mwenendo gani ambao hauwezi kuvumiliwa katika kutaniko la Kikristo?

Mkristo anayeendelea kufanya dhambi nzito, ni lazima ashughulikiwe jinsi gani?

Ni taarifa gani ambazo wachungaji waliowekwa rasmi wanapaswa kutafuta kabla ya kufanya maamuzi katika kikao cha hukumu?

Wazee watakaokuwa kwenye halmashauri ya hukumu wanawezaje kuthibitisha kwamba dhambi nzito imefanywa?

Kwa nini ni lazima baadhi ya watu watengwe na ushirika au kukaripiwa, na hilo linawezaje kulinufaisha kutaniko?

Biblia inasema nini kuhusu jinsi tunavyopaswa kuwatendea wale waliotengwa na ushirika?

Ikiwa mtu aliyetengwa na ushirika anatubu, ni nini kinachoweza kutokea?

2Ko 2:​6, 7

Tazama pia “Toba

Sisi sote tunawezaje kudumisha usafi wa kutaniko?

Kwa nini ingekuwa kosa kwa Mkristo aliyefanya dhambi nzito kuificha, labda kwa sababu anaogopa atatengwa na ushirika?

Kwa nini huenda likawa jambo la hekima katika baadhi ya visa kuacha kushirikiana kwa ukaribu na mtu ambaye hajatengwa na ushirika?

Ikiwa Mkristo amechongewa au kulaghaiwa, huenda akaamua kufanya nini, na kwa nini?

Kwa nini Wakristo wakomavu wanapaswa kutoa shauri kwa wale ambao wanatenda bila hekima?