Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kutenga na Ushirika

Kutenga na Ushirika

Juu ya nini wazee wanapaswa kuendelea kuwa waangalifu sana juu kutaniko ibakie safi?

Namna gani tendo fulani ya mubaya ya ndugu ao dada inaweza kuchafua kutaniko muzima?

1Ko 5:​1, 2, 5, 6

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Yos 7:​1, 4-14, 20-26—Akani na familia yake wanafanya zambi, na ile inaletea taifa yote magumu

    • Yon 1:​1-16—Uasi wa nabii Yona unatia mu hatari uzima wa watu wote wenye wako naye mu mashua

Ni matendo ya namna gani njo haiwezi kukubaliwa mu kutaniko ya Kikristo?

Wakristo wenye kubatizwa wenye wanazoea kufanya zambi nzito wanapaswa kufanyiwa nini?

Wazee wanapaswa kupata habari gani mbele ya kukamata maamuzi ya hukumu?

Nini njo inasaidiaka wazee wenye watatumika mu halmashauri kujua kama zambi nzito ilifanyika?

Juu ya nini ni jambo ya lazima kutenga ao kukaripia watu fulani, na namna gani ile inaweza kuletea kutaniko faida?

Biblia inasema nini juu ya namna tunapaswa kuishi na wale wenye kutengwa?

Kama kisha wakati fulani mutu mwenye alitengwa anatubu, mambo inaweza kuwa namna gani?

2Ko 2:​6, 7

Ona pia “Kutubu

Namna gani siye wote tunaweza kusaidia juu kutaniko iendelee kuwa safi?

Juu ya nini ni kosa kwa Mukristo kuficha zambi nzito yenye anafanya, pengine juu ya kuogopa kutengwa?

Juu ya nini inaweza kuwa muzuri kuepuka kuwa na uhusiano wa karibu na mutu fulani hata kama haiko mwenye kutengwa?

Kama Mukristo anasingiziwa ao kuibiwa, anaweza kuamua kufanya nini, na juu ya nini?

Juu ya nini Wakristo wenye kukomala wanapaswa kupatia wale wenye kutenda bila hekima mashauri?