Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kunywa Pombe

Kunywa Pombe

Biblia inakataza kunywa pombe kwa kiasi?

Zb 104:​14, 15; Muh 9:7; 10:19; 1Ti 5:23

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Yoh 2:​1-11—Yesu anafanya muujiza wake wa kwanza; anageuza maji kuwa divai ya muzuri na ile inasaidia bibi-arusi na bwana-arusi wasipate haya ku karamu yao ya ndoa

Kunywa sana na kulewa iko na hatari gani?

Watumishi wa Mungu wanaonaka ulevi namna gani?

1Ko 5:11; 6:​9, 10; Efe 5:18; 1Ti 3:​2, 3

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 9:​20-25—Ulevi wa Noa unafanya mujukuu wake afikie kufanya zambi nzito

    • 1Sa 25:​2, 3, 36—Nabali, mwanaume mukali na mwenye hana akili, anafanya mambo ya mubaya sana, sawa vile kulewa

    • Da 5:​1-6, 22, 23, 30, 31—Mufalme Belshaza anakunywa divai mingi sana na anamutukana Yehova; kisha anauawa ileile usiku

Juu ya nini tunapaswa kuwa waangalifu juu ya kiasi ya pombe yenye tunakunywa hata kama hatulewe?

Namna gani tunapaswa kusaidia Mukristo mwenzetu mwenye iko na tabia ya kunywa sana?