Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Uvumilivu

Uvumilivu

Watumishi wa Yehova wanakuwaka na lazima ya uvumilivu?

Juu ya nini tunapaswa kutazamia kama watu fulani hawatafurahia ujumbe wetu ao hata wataupinga?

Mt 10:22; Yoh 15:​18, 19; 2Ko 6:​4, 5

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 2Pe 2:5; Mwa 7:23; Mt 24:​37-39—Hata kama Noa ni “muhubiri wa haki,” wengi wanakatala kumusikiliza, na yeye tu na familia yake njo wanaokoka Garika

    • 2Ti 3:​10-14—Kupitia mufano wake, mutume Paulo anamutia moyo Timoteo avumilie

Juu ya nini tunapaswa kutazamia kama watu watatupinga, na hata watu wa familia yetu?

Mt 10:​22, 36-38; Lu 21:​16-19

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 4:​3-11; 1Yo 3:​11, 12—Kaini anamuua ndugu yake juu matendo yake yeye ni ya mubaya, lakini matendo ya ndugu yake Abeli ni ya haki

    • Mwa 37:​5-8, 18-28—Ndugu za Yosefu wanamushambulia na kumuuzisha mu utumwa juu aliwafasiriaka ndoto yenye Yehova alimuonyeshaka

Wakati wanatutesa, juu ya nini hatupaswe kuogopa kifo?

Mt 10:28; 2Ti 4:​6, 7

Ona pia Ufu 2:10

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

Ni nini itatusaidia tuendelee kuwa washikamanifu kwa Yehova hata wakati tunapewa nizamu?

Mez 3:​11, 12; Ebr 12:​5-7

Namna gani kukosa uaminifu kwa wengine kunaweza kujaribu uvumilivu wetu?

Yer 1:​16-19; Hab 1:​2-4

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Zb 73:​2-24—Kisha kufikiria amani yenye watu wabaya wako nayo na namna wako nafanikiwa, muandikaji moya wa zaburi anaanza kujiuliza ikiwa kweli kuvumilia mu kazi ya Yehova ni kwa maana

    • Yoh 6:​60-62, 66-68—Hata kama watu wengi wanaacha kumufuata Yesu, imani ya mutume Petro inamuchochea aazimie kuendelea kuvumilia

Nini njo itatusaidia tuvumilie?

Kushikamana na Yehova

Kujua muzuri Neno ya Mungu kwa kujifunza na kutafakari

Kuendelea kumukaribia Yehova kwa kusali kutoka ku moyo

Ro 12:12; Kol 4:2; 1Pe 4:7

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Da 6:​4-11—Nabii Danieli anaendelea kusali waziwazi na kwa ukawaida, hata kama watu wanapanga kumutendea mubaya

    • Mt 26:​36-46; Ebr 5:7—Mu juma ya mwisho ya maisha yake ku dunia, Yesu anasali sana na anatia wengine moyo wafanye vile

Kukusanyika kwa ukawaida pamoya na Wakristo wenzetu kwa ajili ya ibada

Kuendelea kukaza akili juu ya baraka zenye Yehova anatuahidi

Kupenda sana Yehova, ndugu na dada zetu, na haki

Kutia nguvu imani yetu

Kuendelea kuwa na mawazo yenye kufaa wakati tunateseka

Kuvumilia kwa uaminifu kuko na faida gani?

Tunamutukuza Yehova Mungu

Mez 27:11; Yoh 15:​7, 8; 1Pe 1:​6, 7

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Yob 1:​6-12; 2:​3-5—Shetani anamuchokoza Yehova juu ya uaminifu-mushikamanifu wa Yobu; ni Yobu tu njo anaweza kujibia ile uchokozi kama anaendelea kubakia muaminifu-mushikamanifu kwa Yehova

    • Ro 5:19; 1Pe 1:​20, 21—Kwa kubakia muaminifu mupaka mwisho, Yesu anajibia hii ulizo ya maana sana: Mutu mukamilifu anaweza kuweza kile Adamu alishindwaka, ni kusema kuendelea kuwa muaminifu-mushikamanifu wakati anajaribiwa?

Tunatia wengine moyo wavumilie

Uvumilivu unasaidia tupate matokeo ya muzuri mu utumishi

Tunakubaliwa na Yehova na anatubariki