Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Woga

Woga

Woga usiofaa; hofu

Kum 20:8; Amu 7:3; Met 29:25

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Kut 32:​1-4, 21-24—Haruni anawaogopa wanadamu anaposhinikizwa atengeneze sanamu ya ndama ya dhahabu

    • Mk 14:​50, 66-72—Kwa sababu ya kuogopa wanadamu, mitume wote wanamwacha Yesu na kukimbia, na baadaye Petro anamkana Kristo

  • Maandiko yenye kufariji:

  • Masimulizi ya Biblia yenye kufariji:

    • 2Nya 20:​1-17, 22-24—Mfalme Yehoshafati na watu wengine wote wa Mungu wanamwogopa adui mkubwa na mwenye nguvu, lakini Yehova anawatia moyo watumishi wake na kuwaokoa

    • Lu 12:​4-12—Yesu anawafundisha wafuasi wake kwa nini hawahitaji kuogopa wanadamu au kuhofu kuhusu kutetea imani yao mbele ya wenye mamlaka serikalini