Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Uhuru

Uhuru

Ni nani pekee ambaye ana uhuru kamili katika ulimwengu wote?

Isa 40:​13, 15; Ro 9:​20, 21

Tazama pia Ro 11:​33-36

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Da 4:​29-35—Mfalme mwenye nguvu Nebukadneza anajifunza kwamba Yehova ndiye Mtawala Mkuu Zaidi na hakuna mtu yeyote anayepaswa kumwambia cha kufanya

    • Isa 45:​6-12—Akiwa Muumba wetu, Yehova hahitaji kutueleza kwa nini anafanya jambo fulani

Ingawa ana uhuru kamili, ni mambo gani ambayo Yehova ameamua kutofanya kamwe?

Kwa nini uhuru wetu una mipaka?

Kwa nini wakati mwingine Wakristo wanapaswa kudhibiti uhuru wao kwa ajili ya wengine?

Kwa nini tunaweza kusema kwamba watumishi wa Yehova wanafurahia uhuru mwingi?

Kwa nini wale wanaomtumikia Mungu wana furaha?

Zb 40:8

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 18:3; Ebr 11:​8-10—Abrahamu, mtumishi wa Yehova, aliishi maisha yaliyojaa tumaini

    • Ebr 11:​24-26—Nabii Musa anachagua maisha ya kumtumikia Yehova, Naye anampatia Musa maisha yenye furaha, uhuru, na tumaini la wakati ujao

Yehova anatuweka huru kutokana na utumwa wa aina gani?

Kwa nini hatupaswi kutumia vibaya uhuru wetu tukiwa Wakristo?

Ni wakati gani upendo unaweza kumchochea Mkristo kutofanya mambo fulani ambayo ana haki ya kufanya?

Ujumbe wetu unawawekaje watu huru?

Ni uhuru wa aina gani ambao Biblia inasema tutakuwa nao wakati ujao?

Ni katika njia gani wale wanaofanya chochote wanachotaka wanakuwa watumwa?

Ni nini kinachoonyesha kwamba wanadamu wote wako sawa machoni pa Mungu?