Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Uhuru

Uhuru

Mu ulimwengu wote, nani tu njo iko na uhuru wenye hauna mipaka?

Isa 40:​13, 15; Ro 9:​20, 21

Ona pia Ro 11:​33-36

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Da 4:​29-35—Mufalme mwenye nguvu Nebukadneza anatambua kama Yehova njo Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi na hakuna mwenye anaweza kumuambia jambo ya kufanya

    • Isa 45:​6-12—Juu yeye njo Muumbaji, Yehova halazimike kutuambia juu ya nini alifanya jambo fulani

Hata kama Yehova iko na uhuru wenye hauna mipaka, ni mambo gani yenye anaamua kutokufanya hata kidogo?

Juu ya nini uhuru wetu uko na mipaka?

Juu ya nini Wakristo wanapaswa kuepuka kufanya mambo fulani hata kama wako na uhuru ya kuifanya?

Juu ya nini tunaweza kusema kama watumishi wa Yehova wako huru?

Juu ya nini maisha ya kumutumikia Mungu ni maisha ya furaha?

Zb 40:8

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 18:3; Ebr 11:​8-10—Abrahamu hasahau tumaini yenye Mungu alimupatia, na ile inamusaidia aendelee kumutumikia Yehova

    • Ebr 11:​24-26—Nabii Musa anaamua kumutumikia Yehova, na Yehova anamupatia maisha yenye furaha, uhuru, na tumaini

Yehova anatufanya tukuwe huru kutoka mu nini?

Juu ya nini siye Wakristo hatupaswe kutumia mubaya uhuru wetu?

Ni wakati gani upendo unaweza kuchochea Mukristo asifanye mambo fulani yenye iko na uhuru wa kufanya?

Namna gani ujumbe wetu unafanya watu wakuwe huru?

Biblia inasema kama tutakuwa na uhuru wa namna gani wakati wenye kuya?

Ni mu njia gani wale wenye wanafanya mambo yote yenye wanapenda kufanya wanakuwa watumwa?

Nini njo inaonyesha kama wanadamu wote wako sawasawa mbele ya Mungu?