Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Urafiki na Ulimwengu

Urafiki na Ulimwengu

Nani njo iko natawala ulimwengu wa wanadamu wenye hawaamini?

Efe 2:2; 1Yo 5:19

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Lu 4:​5-8—Shetani anamuahidi Yesu utawala wa ulimwengu, na Yesu hakatale kama Shetani iko na ile mamlaka

Kupenda kuwa marafiki wa ulimwengu kunaweza kuwa na matokeo gani juu ya urafiki wetu na Yehova?

Yak 4:4; 1Yo 2:​15, 16

Ona pia Yak 1:27

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • 2Ny 18:​1-3; 19:​1, 2—Mufalme muzuri Yehoshafati anakaripiwa juu alikubali kujiunga na Mufalme Ahabu, mwenye Yehova anaona kuwa muovu

Kujua namna Yehova anaonaka ulimwengu kunaweza kuwa na matokeo gani juu ya namna tunachagua marafiki?

Ona “Urafiki

Juu ya nini tunaepukaka kabisa kuwa na mawazo ya ulimwengu juu ya vitu vya kimwili?

Juu ya nini tunaepukaka kabisa kuwa na mawazo ya ulimwengu juu ya tamaa ya ngono?

Juu ya nini Wakristo wanaepukaka kuabudu watu na matengenezo?

Mt 4:10; Ro 1:25; 1Ko 10:14

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mdo 12:​21-23—Yehova anamupatia Mufalme Herode Agripa wa Kwanza azabu juu aliitika watu wamuabudu

    • Ufu 22:​8, 9—Malaika mwenye nguvu anakatala mutume Yohana amuinamie, anamuambia kwa mukazo kama Yehova tu njo tunapaswa kuabudu

Juu ya nini Wakristo hawajiingizake mu mambo ya politike na ya kutukuza inchi?

Juu ya nini Wakristo hawajiingizake mu mambo ya dini zingine?

Ona “wa Madini

Juu ya nini Wakristo wanakatalaka kuvunja kanuni za Yehova?

Juu ya nini mara mingi ulimwengu unachukia na kutesa wafuasi wa Kristo?

Juu ya nini kujiunga na ulimwengu haiko jambo ya hekima?

Namna gani Wakristo wanaonyeshaka upendo na fazili kwa wale wenye hawamutumikie Yehova?

Juu ya nini Wakristo wanapaswa kuheshimia sheria za inchi na watu wenye mamlaka?

Mt 22:21; Ro 13:​1-7

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia: