Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Tunda la Roho ya Mungu

Tunda la Roho ya Mungu

Tunda la roho ya Yehova ni nini, na kwa nini tunahitaji kuwa wanyenyekevu ikiwa tunataka kupokea roho takatifu?

Gal 5:​22, 23; Yak 4:6

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Zb 143:​1, 4-11—Mfalme Daudi, akiwa kwenye mkazo mkubwa, anatafakari kuhusu utendaji wa Yehova na kusali apate roho takatifu

    • Lu 11:​9-13—Yesu anatumia mfano kutukumbusha jinsi Yehova alivyo tayari kuwapatia roho yake wale wanaomwomba