Ukarimu
Mez 11:25; Mdo 20:35; 2Ko 9:11
Ona pia Mez 19:17; Mt 10:8; Lu 6:38
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
1Ny 22:6-16—Hata kama hakukubaliwa kujenga hekalu vile alitazamia, Mufalme Daudi anatoa kwa ukarimu juu ya kutegemeza ujenzi wa hekalu
1Fa 17:8-16—Mujane wa Sarefati anamupatia nabii Eliya chakula kidogo yenye alibakia nayo, hata kama yeye na mutoto wake mwanaume wako karibu kukosa kabisa chakula