Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Unyoofu

Unyoofu

Kum 25:​13-16; 2Ko 8:21; Efe 4:25; Ebr 13:18

Tazama pia Ayu 6:25; Met 3:32; 6:​16-19; 2Ko 6:​3, 4, 7, 8

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Zb 15:​1-5—Yehova anafafanua sifa za wale wanaoweza kuwa rafiki zake wa karibu, na sifa moja ambayo anataka rafiki zake waonyeshe ni unyoofu

    • Mdo 5:​1-10—Anania na Safira wanaadhibiwa kwa kukosa unyoofu