Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Majina ya Heshima

Majina ya Heshima

Wakristo wanapaswa kutumia majina ya heshima ya kidini?

Yoh 5:41

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Lu 18:​18, 19—Hata kama Yesu ni mwema, anakatala kuitwa “Mwalimu Mwema,” anasema kama ni Yehova tu njo mwema

Juu ya nini Wakristo hawaitake watu kwa majina yao ya cheo ya kidini, sawa vile “Baba” ao “Kiongozi”?

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mt 23:​9-12—Yesu anakataza kutumia majina ya heshima sawa vile “Baba” ao “Kiongozi”

    • 1Ko 4:​14-17—Hata kama mutume Paulo alikuwa sawa vile baba kwa watu wengi, hakuna fasi kwenye tunaona wanamuita Baba Paulo ao jina ingine ya kufanana na ile

Juu ya nini ni muzuri Wakristo wakuwe natendeana sawa ndugu na dada na kuitana ndugu na dada?

Mt 23:8

Ona pia Mdo 12:17; 18:18; Ro 16:1

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Mt 12:​46-50—Yesu anaonyesha wazi kama wafuasi wake waaminifu ni ndugu na dada zake wa kiroho

Juu ya nini haiko mubaya kwa Wakristo kutumia majina ya heshima kwa watawala wanadamu na kwa viongozi wa politike, waamuzi, na viongozi wengine?

Ro 13:​1, 7; 1Pe 2:17

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Mdo 26:​1, 2, 25—Mutume Paulo anaita watawala wanadamu sawa vile Agripa na Festo kwa majina yao ya heshima