Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ibada ya Sanamu

Ibada ya Sanamu

1Ko 5:11; 10:14; Kol 3:5

Tazama pia Kum 4:​25, 26; Isa 42:8; 1Yo 5:21

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Isa 44:​9-20—Kupitia nabii Isaya, Yehova anafunua kwamba kuabudu sanamu ni upumbavu

    • Da 3:​1-30—Vijana watatu Waebrania ambao ni marafiki wa nabii Danieli wanachagua adhabu ya kifo katika tanuru ya moto badala ya kushiriki ibada ya sanamu