Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Uasherati

Uasherati

Mwenendo mpotovu; uchafu; uzinzi

Kut 20:​13-17; Mk 7:​21-23; 1Ko 6:​9, 10, 18; Gal 5:​19, 21; Efe 5:5; 1Pe 4:3

Tazama pia Law 20:10; Met 6:32; Ro 13:13; Efe 4:​19, 5:3; 2Pe 2:​2, 7, 8, 18, 19

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 39:​7-12—Mke wa Potifa anajaribu tena na tena kumshawishi Yosefu, lakini Yosefu anapinga jitihada zake zote

    • 2Sa 12:​7-14—Uzinzi ambao Mfalme Daudi anafanya pamoja na Bath-sheba unasababisha matatizo na misiba katika familia ya Daudi kwa miaka mingi