Furaha
Nini njo inaonyesha kama Yehova ni Mungu mwenye furaha?
Ni mambo gani inaweza kutufanya tukuwe na furaha?
Zb 100:2; Muh 8:15; Isa 65:14, 18; Flp 4:1, 4
Ona pia Zb 64:10; Isa 61:10; Mt 5:11, 12
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Zb 16:7-9, 11—Kukuwa karibu na Yehova kunafanya Daudi akuwe na furaha sana
Ebr 12:1-3—Mutume Paulo anafasiria kama, sawa vile Yesu, tunaweza kuwa na furaha hata wakati ya magumu, juu tuko na tumaini