Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Fadhili

Fadhili

Ni mambo gani yanayothibitisha kwamba Yehova ni mwenye fadhili?

Ro 3:​23, 24; Tit 3:​3-6; Ebr 2:9; 1Pe 5:5

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Yon 3:10; 4:11—Kwa fadhili, Yehova anawasamehe Waninawi wanaotubu, hata anawahangaikia wanyama wao

    • Lu 6:​32-36—Yesu anatuchochea tuwe wenye fadhili kwa kutukumbusha kwamba Yehova ni mwenye fadhili hata kwa wale wasio na shukrani na waovu

Ni baadhi ya njia gani tunazoweza kuonyesha fadhili?

Met 19:17; 22:9; Lu 6:35; Efe 4:32

Tazama pia Met 11:17; 31:​10, 26; Ebr 13:16

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika: