Fadhili
Ni mambo gani yanayothibitisha kwamba Yehova ni mwenye fadhili?
Ro 3:23, 24; Tit 3:3-6; Ebr 2:9; 1Pe 5:5
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
Yon 3:10; 4:11—Kwa fadhili, Yehova anawasamehe Waninawi wanaotubu, hata anawahangaikia wanyama wao
Lu 6:32-36—Yesu anatuchochea tuwe wenye fadhili kwa kutukumbusha kwamba Yehova ni mwenye fadhili hata kwa wale wasio na shukrani na waovu
Ni baadhi ya njia gani tunazoweza kuonyesha fadhili?
Met 19:17; 22:9; Lu 6:35; Efe 4:32
Tazama pia Met 11:17; 31:10, 26; Ebr 13:16
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
Mk 14:3-9; Yoh 12:3—Yesu anamsifu Maria, dada ya Lazaro, kwa matendo yake ya ukarimu na fadhili
2Ti 1:16-18—Onesiforo anamburudisha mtume Paulo wakati akiwa gerezani