Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kudanganya

Kudanganya

Yehova anahisije kuhusu watu ambao hawatimizi ahadi zao?

Ro 1:​31, 32

Tazama pia Zb 15:4; Mt 5:37

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Kut 9:​27, 28, 34, 35—Farao anaahidi kuwaruhusu watu wa Mungu waende zao; kisha, anakosa kutimiza ahadi hiyo

    • Eze 17:​11-15, 19, 20—Yehova anamwadhibu Mfalme Sedekia kwa kuvunja kiapo chake na agano lake pamoja na Mfalme wa Babiloni

    • Mdo 5:​1-10—Anania na Safira wanadanganya, wakidai kwamba wamelipatia kutaniko pesa zote walizopata baada ya kuuza shamba

Yehova anahisije kuhusu watu wanaowachongea wengine?

Zb 15:​1-3; Met 6:​16-19; 16:28; Kol 3:9

Tazama pia Met 11:13; 1Ti 3:11

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika: