Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kusema Uongo

Kusema Uongo

Yehova anaonaka namna gani watu wenye hawatimize ahadi?

Ro 1:​31, 32

Ona pia Zb 15:4; Mt 5:37

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Kut 9:​27, 28, 34, 35—Farao anaitika kama ataacha watu wa Mungu waende, kisha tena anakatala

    • Eze 17:​11-15, 19, 20—Yehova anamupatia Mufalme Sedekia azabu juu alivunja agano yenye alifanya na mufalme wa Babiloni

    • Mdo 5:​1-10—Anania na Safira wanasema uongo; wanasema kama watapatia kutaniko makuta yote ya shamba

Yehova anaonaka namna gani wale wenye wanasingizia wengine?

Zb 15:​1-3; Mez 6:​16-19; 16:28; Kol 3:9

Ona pia Mez 11:13; 1Ti 3:11

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia: