Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kupenda Vitu vya Kimwili

Kupenda Vitu vya Kimwili

Biblia inasema kama ni mubaya kuwa na makuta na vitu vya kimwili?

Muh 7:12

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 1Fa 3:​11-14—Yehova anamubariki Mufalme Sulemani kwa kumupatia utajiri mwingi juu iko munyenyekevu

    • Yob 1:​1-3, 8-10—Yobu ni tajiri sana, lakini jambo yenye ilikuwa ya maana sana kwake ni uhusiano wake pamoya na Yehova

Juu ya nini kuwa tajiri ao kuwa na vitu mingi vya kimwili hakusaidiake mutu atosheke ao akuwe na amani ya akili?

Ni mu hali gani utajiri hauwezi kutusaidia?

Makuta na vitu vya kimwili viko na hatari gani kubwa?

Namna gani nguvu za utajiri zinaweza kudanganya mutu?

Mez 11:​4, 18, 28; 18:11; Mt 13:22

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Mdo 8:​18-24—Kwa upumbavu, Simoni anawaza kama anaweza kutumia makuta juu ya kuuza mapendeleo mu kutaniko ya Kikristo

Kupenda makuta kunaweza kutufanya tupoteze nini?

Mt 6:​19-21; Lu 17:​31, 32

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mk 10:​17-23—Kijana mwanaume mutajiri mwenye anapenda sana vitu vya kimwili anakosa pendeleo ya kuwa mufuasi wa Yesu

    • 1Ti 6:​17-19—Mutume Paulo anaonya Wakristo matajiri wasikuwe na majivuno, juu ile inaweza kufanya Mungu asiwakubali

Namna gani kupenda vitu vya kimwili kunaweza kuregeza imani yetu na kufanya tusikubaliwe tena na Mungu?

Kum 8:​10-14; Mez 28:20; 1Yo 2:​15-17

Ona pia Zb 52:​6, 7; Amo 3:​12, 15; 6:​4-8

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Yob 31:​24, 25, 28—Yobu anaona kabisa hatari ya kutumainia utajiri, juu ile inaweza kufanya mutu afikie kumuacha Mungu

    • Lu 12:​15-21—Yesu anaonya kuhusu kupenda vitu vya kimwili kwa kuzungumuzia mwanaume tajiri mwenye haiko tajiri kwa Mungu

Nini njo inaweza kutusaidia tufurahie vitu vya kimwili vyenye tuko navyo?

Ni utajiri gani unapita vitu vya kimwili, na juu ya nini?

Mez 3:​11, 13-18; 10:22; Mt 6:​19-21

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Hag 1:​3-11—Kupitia nabii Hagai, Yehova anaonyesha kama anazuia watu wake kupata hata baraka za kimwili, juu wanatia faida zao pa nafasi ya kwanza kuliko kuhangaikia kujenga hekalu yake takatifu

    • Ufu 3:​14-19—Yesu anakaripia kutaniko ya Laodikia juu wanahangaikia sana kuwa na vitu vya kimwili kuliko kumutumikia Mungu

Juu ya nini tunapaswa kutumainia kama Yehova atatupatia vitu vya kimwili vyenye tuko navyo lazima?