Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ukomavu

Ukomavu

Kwa nini kila Mkristo anapaswa kujitahidi kuwa mkomavu kiroho?

Ujuzi wa Maandiko unawezaje kutusaidia kufikia ukomavu?

Je, wenye umri mkubwa tu ndio wanaoweza kufikia ukomavu?

Ayu 32:9; 1Ti 4:12

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Da 1:​6-20—Ingawa Danieli na wenzake watatu ni vijana, wanaonyesha ukomavu na utimilifu wa pekee

    • Mdo 16:​1-5—Timotheo, labda akiwa na umri wa miaka 20 hivi, anatumainiwa na kukabidhiwa mgawo muhimu

Watu wazuri tunaoshirikiana nao kwenye kutaniko wanaweza kutusaidiaje?

Ni nini kinachoonyesha kwamba sisi ni Wakristo wakomavu?

Kwa nini mwanamume Mkristo mkomavu anapaswa kuwa tayari kukubali majukumu zaidi katika kutaniko?

Ni kwa njia gani pekee tunaweza kuwa wahubiri na walimu wakomavu na wenye matokeo?

Lu 21:​14, 15; 1Ko 2:​6, 10-13

Tazama pia Lu 11:13

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Mt 10:​19, 20—Yesu anawahakikishia wafuasi wake kwamba roho takatifu itawasaidia kujua jinsi ya kutoa ushahidi wanapokabili jaribu