Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kukomala Kiroho

Kukomala Kiroho

Juu ya nini kila Mukristo anapaswa kujikaza juu afikie kukomala kiroho?

Namna gani kujua Maandiko kunaweza kutusaidia tukomale kiroho?

Ni watu wenye wako na miaka mingi tu njo wanaweza kuwa wenye kukomala kiroho?

Yob 32:9; 1Ti 4:12

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Da 1:​6-20—Hata kama wangali vijana, Danieli na marafiki wake watatu wanaonyesha kama walishakomala kiroho na wako waaminifu-washikamanifu

    • Mdo 16:​1-5—Kijana Timoteo anapewa daraka nzito, wakati alikuwa angali pengine na miaka 20 ao chini ya ile

Kuwa na marafiki wazuri mu kutaniko kunaweza kuwa na matokeo gani juu yetu?

Nini njo inaweza kuonyesha kama mutu iko mwenye kukomala kiroho?

Juu ya nini Mukristo mwenye alishakomala kiroho anapaswa kufikiria kukuwa na madaraka zaidi mu kutaniko?

Ni jambo gani moya tu inaweza kutusaidia tukomale kiroho na tupate matokeo ya muzuri mu kazi yetu ya kuhubiri na kufundisha?

Lu 21:​14, 15; 1Ko 2:​6, 10-13

Ona pia Lu 11:13

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Mt 10:​19, 20—Yesu anahakikishia wafuasi wake kama roho takatifu itawasaidia kujua namna ya kutoa ushahidi wakati wako nasambishwa