Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Upole

Upole

Tunajuaje kwamba Yehova anaonyesha sifa ya upole?

Mt 11:​28, 29; Yoh 14:9

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 1Fa 19:12—Nabii Eliya ana mkazo na mahangaiko lakini Yehova anazungumza naye kwa “sauti tulivu, ya chini”

    • Yon 3:10–4:11—Ingawa Yona anazungumza kwa hasira na Yehova, kwa upole Yehova anamfundisha somo kuhusu rehema

Tunawezaje kuonyesha sifa ya upole?

Met 15:1; Efe 4:​1-3; Tit 3:2; Yak 3:​13, 17; 1Pe 3:15

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Hes 11:​26-29—Nabii Musa anamjibu Yoshua kwa upole wakati Yoshua anapomwomba awazuie watu wanaotenda kama manabii

    • Amu 8:​1-3—Sifa ya upole inamsaidia Mwamuzi Gideoni kutuliza hali mbaya inayokaribia kutokea