Upole
Nini njo inaonyesha kama Yehova ni mwenye upole?
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
1Fa 19:12—Yehova anaongea na nabii Eliya mwenye kuwa na wasiwasi kwa “sauti tulivu, ya chini”
Yon 3:10–4:11—Hata kama Yona iko naongea na Yehova kwa ukali, Yehova anamufundisha somo kuhusu rehema kwa upendo
Namna gani tunaweza kuonyesha upole?
Mez 15:1; Efe 4:1-3; Tit 3:2; Yak 3:13, 17; 1Pe 3:15
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Hes 11:26-29—Wakati Yoshua aliambia nabii Musa akataze wale wenye walikuwa natoa unabii, Musa alimujibia kwa upole
Amu 8:1-3—Muamuzi Gideoni anajibia kwa upole wanaume wenye walikuwa na kasirani na wenye walipenda kubishana naye; ile inafanya watulie