Kutendewa Mubaya
Tunaweza kujisikia namna gani kama tulitendewa mubaya na wengine?
Zb 69:20; Mez 18:14; Muh 4:1-3; Mal 2:13-16; Kol 3:21
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
2Sa 10:1-5—Mu njia ya pekee, Daudi anaonyesha fazili maaskari wake wenye walishushiwa heshima na maadui wao
-
2Sa 13:6-19—Kisha Amnoni kumukaza kulala naye, Tamari analia sana na kupasua nguo yake
-
Nini njo inaonyesha kama Yehova anajua kabisa vile mambo inakuwaka wakati mutu anatendewa mubaya, na atafanya nini kuhusu ile?
Yob 34:21, 22; Zb 37:8, 9; Isa 29:15, 19-21; Ro 12:17-21
Ona pia Zb 63:6, 7
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
1Sa 25:3, 14-17, 21, 32-38—Nabali, mwanaume mukali na mwenye tabia mubaya, anamutukana Daudi; ile inatia nyumba yake mu hatari na Yehova anamupatia azabu
-
Yer 20:1-6, 9, 11-13—Wakati kuhani Pashuri anamushambulia na kumutia katika mikatale, Yeremia anavunjika moyo; kisha Yehova anamutia moyo na kumuokoa
-