Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kutendewa Mubaya

Kutendewa Mubaya

Tunaweza kujisikia namna gani kama tulitendewa mubaya na wengine?

Zb 69:20; Mez 18:14; Muh 4:​1-3; Mal 2:​13-16; Kol 3:21

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 2Sa 10:​1-5—Mu njia ya pekee, Daudi anaonyesha fazili maaskari wake wenye walishushiwa heshima na maadui wao

    • 2Sa 13:​6-19—Kisha Amnoni kumukaza kulala naye, Tamari analia sana na kupasua nguo yake

Nini njo inaonyesha kama Yehova anajua kabisa vile mambo inakuwaka wakati mutu anatendewa mubaya, na atafanya nini kuhusu ile?

Yob 34:​21, 22; Zb 37:​8, 9; Isa 29:​15, 19-21; Ro 12:​17-21

Ona pia Zb 63:​6, 7

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 1Sa 25:​3, 14-17, 21, 32-38—Nabali, mwanaume mukali na mwenye tabia mubaya, anamutukana Daudi; ile inatia nyumba yake mu hatari na Yehova anamupatia azabu

    • Yer 20:​1-6, 9, 11-13—Wakati kuhani Pashuri anamushambulia na kumutia katika mikatale, Yeremia anavunjika moyo; kisha Yehova anamutia moyo na kumuokoa