Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Makuta

Makuta

Juu ya nini kupenda makuta ni hatari?

Namna gani Biblia inaonyesha kama haiko mubaya kutafuta makuta juu ya kuhangaikia familia?

Muh 7:12; 10:19; Efe 4:28; 2Te 3:10; 1Ti 5:​8, 18

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 31:​38-42—Juu ya kuhangaikia familia yake, kwa unyoofu Yakobo anamutumikia baba-mukwe wake, Labani, mwenye anamutendea bila haki, lakini Yehova anamubariki Yakobo juu ya bidii yake

    • Lu 19:​12, 13, 15-23—Mufano moya wa Yesu unatusaidia kuelewa kama mu wakati yake ilikuwa kawaida kutia makuta mu kazi fulani juu ikuwe mingi

Ni kanuni gani za Biblia zenye zinatupatia muongozo juu ya kukopa na kukopesha makuta?

Juu ya nini ni muzuri kuepuka madeni yenye haiko ya lazima?

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Ne 5:​2-8—Mu wakati wa gavana Nehemia, watu wenye walikopesha makuta wanatendea kwa ukali wale wenye walikopa

    • Mt 18:​23-25—Mufano wa Yesu unatukumbusha kama mwenye anakopa lakini anashindwa kulipa anaweza kupata azabu

Unapaswa kufanya nini mbele ya kuanza kutumika na mutu fulani, ikuwe mwenye haamini, Mukristo mwenzako, ao hata mutu wa familia?

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 23:​14-20—Inawezekana juu ya kuepuka kutoelewana kisha wakati fulani, Abrahamu anatafuta mashahidi wawili wenye watahakikisha kama amenunua shamba yenye atamuzikia Sara

    • Yer 32:​9-12—Wakati nabii Yeremia ananunua shamba kwa binamu yake, anaandika mapatano ku karatasi, anafanya kopi ya ile mapatano, na ananunua shamba mbele ya mashahidi

Juu ya nini ni jambo ya hekima kupanga muzuri namna tutatumia makuta?

Juu ya nini Wakristo wanapaswa kuepuka kuacha kutoelewana juu ya makuta igawanye kutaniko?

Namna gani tunaweza kutumikisha makuta mu njia yenye inaweza kutuletea furaha?