Mama
Mama ana majukumu gani?
Met 31:17, 21, 26, 27; Tit 2:4
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
Mwa 21:8-12—Sara anapotambua kwamba Ishmaeli anamtesa Isaka, mwana wake mdogo, anamsihi Abrahamu amlinde mwana wake
1Fa 1:11-21—Bath-sheba anapotambua kwamba ufalme na uhai wa Sulemani, mwana wake, upo hatarini, anamsihi Mfalme Daudi aingilie kati
Kwa nini tunapaswa kuwatii na kuwaheshimu mama zetu?
Kut 20:12; Kum 5:16; 27:16; Met 1:8; 6:20-22; 23:22
Tazama pia 1Ti 5:9, 10
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
1Pe 3:5, 6—Mtume Petro anafafanua kwamba Sara amekuwa kama mama ya mabinti wengi kwa sababu ya imani yake yenye nguvu
Met 31:1, 15, 21, 28—Mama ya Mfalme Lemueli anatoa ushauri muhimu kwa mwana wake, mfalme, kuhusu ndoa na jukumu lenye kuheshimika la mke na mama
2Ti 1:5; 3:15—Mtume Paulo anaongozwa na roho kumsifu Eunike, mama ya Timotheo kwa kumfundisha mwana wake Maandiko tangu utotoni licha ya kwamba mume wake si mwamini