Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Mama

Mama

Mama iko na madaraka gani?

Mez 31:​17, 21, 26, 27; Tit 2:4

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 21:​8-12—Wakati Sara anaona kama Ishmaeli iko natesa mutoto yake Isaka mwenye angali mudogo, anamuambia Abrahamu amulinde Isaka

    • 1Fa 1:​11-21—Wakati Adoniya anapenda kuwa mufalme, Bat-sheba anaambia Daudi amufanye Sulemani kuwa mufalme na amulinde

Juu ya nini tunapaswa kutii na kuheshimia mama yetu?

Kut 20:12; Kum 5:16; 27:16; Mez 1:8; 6:​20-22; 23:22

Ona pia 1Ti 5:​9, 10

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 1Pe 3:​5, 6—Mutume Petro anasema kama Sara amekuwa mama ya wanamuke wengi juu ya imani yake ya nguvu

    • Mez 31:​1, 15, 21, 28—Mama ya Mufalme Lemueli anamupatia mutoto yake shauri ya muzuri kuhusu ndoa na madaraka ya maana yenye bibi na mama wanakuwaka nayo

    • 2Ti 1:5; 3:15—Mutume Paulo anamusifu Eunike, mama ya Timoteo, juu alimufundisha mutoto yake Maandiko tangu utoto hata kama bwana yake haiko muamini