Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Utii

Utii

Kwa nini ni muhimu kutii?

Kut 19:5; Kum 10:​12, 13; Mhu 12:13; Yak 1:22

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 1Sa 15:​17-23—Nabii Samweli anamkemea Mfalme Sauli kwa kutomtii Yehova; kisha Samweli anakazia umuhimu wa kutii

    • Ebr 5:​7-10—Ingawa sikuzote Yesu amekuwa Mwana mkamilifu wa Mungu, alijifunza kuwa mtiifu alipotendewa kwa njia isiyofaa akiwa duniani

Mkristo anapaswa kufanya nini ikiwa wanadamu wenye mamlaka wanamwambia asimtii Mungu?

Mdo 5:29

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Da 3:​13-18—Hata walipohatarisha uhai wao, Waebrania watatu waaminifu walikataa kuinamia sanamu iliyosimamishwa na Mfalme Nebukadneza

    • Mt 22:​15-22—Yesu anaeleza kwamba wafuasi wake wanawatii wenye mamlaka isipokuwa tu wenye mamlaka wawaambie wasimtii Yehova Mungu

    • Mdo 4:​18-31—Hata walipoamriwa na wenye mamlaka waache kuhubiri, mitume waliendelea kuhubiri kwa ujasiri

Ni lazima tufanye nini ikiwa tunataka kuendelea kutii amri za Yehova?

Kum 6:​1-5; Zb 112:1; 1Yo 5:​2, 3

Tazama pia Zb 119:​11, 112; Ro 6:17

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Ezr 7:​7-10—Kuhani mwaminifu Ezra anatayarisha moyo wake ili aweze kuweka mfano mzuri wa kutii amri za Mungu na kuwafundisha wengine

    • Yoh 14:31—Yesu anafunua kwa nini anatenda kama vile Baba yake alivyomwamuru

Ni nini kinachopaswa kutuchochea kumtii Yehova na Yesu?

Utii wetu unaonyeshaje imani yetu?

Ro 1:5; 10:​16, 17; Yak 2:​20-23

Tazama pia Kum 9:23

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 6:​9-22; Ebr 11:7—Noa anaonyesha imani yake kwa kujenga safina kama tu Yehova anavyomwamuru, ‘ndivyo anavyofanya’

    • Ebr 11:​8, 9, 17—Abrahamu anaonyesha imani yake kwa kutii amri za Yehova, kutia ndani kuondoka Uru, na kumtoa mwana wake

Yehova anatupa baraka gani tunapotii?

Yer 7:23; Mt 7:21; 1Yo 3:22

Ni nini kitakachotokea tusipotii?

Ro 5:19; 2Th 1:​8, 9

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Kwa nini tunapaswa kumtii Yesu Kristo?

Mwa 49:10; Mt 28:18

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

Kwa nini Wakristo wanawatii wale wanaoongoza kutanikoni?

Kwa nini mke Mkristo anapaswa kujitiisha kwa mume wake?

Kwa nini watoto wawatii wazazi wao?

Met 23:22; Efe 6:1; Kol 3:20

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 37:​3, 4, 8, 11-13, 18—Kijana Yosefu anamtii baba yake na kusafiri kwenda kuwaona ndugu zake hata ingawa wanamchukia

    • Lu 2:51—Yesu anaendelea kuwatii Yosefu na Maria hata ingawa yeye ni mkamilifu na wazazi wake wa kibinadamu si wakamilifu

Kwa nini ni jambo la hekima kumtii mwajiri wetu hata ikiwa hatuonwi na wengine?

Kwa nini Wakristo wanatii serikali?