Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Utii; Kutii

Utii; Kutii

Juu ya nini utii ni wa maana?

Kut 19:5; Kum 10:​12, 13; Muh 12:13; Yak 1:22

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 1Sa 15:​17-23—Nabii Samweli anamupatia Mufalme Sauli nizamu juu hakumutii Yehova; kisha Samweli anakazia ulazima wa kutii

    • Ebr 5:​7-10—Kila mara Yesu alikuwa namutii Baba yake, lakini wakati alikuwa ku dunia alijifunza kumutii wakati anatendewa mubaya

Mukristo anapaswa kufanya nini wakati mutawala mwanadamu anamuambia asimutii Mungu?

Mdo 5:29

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Da 3:​13-18—Hata kama maisha yao iko mu hatari, Waebrania watatu washikamanifu wanakatala kuinamia sanamu yenye Mufalme Nebukadneza alitengeneza

    • Mt 22:​15-22—Yesu anasema kama, wafuasi wake wanapaswa kutii serikali, lakini hawatatii serikali wakati inawaambia wakatale kumutii Yehova

    • Mdo 4:​18-31—Hata kama serikali inawaambia waache kuhubiri, mitume wanaendelea kuhubiri bila woga

Tunapaswa kufanya nini juu tuendelee kumutii Mungu?

Kum 6:​1-5; Zb 112:1; 1Yo 5:​2, 3

Ona pia Zb 119:​11, 112; Ro 6:17

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Ezr 7:​7-10—Kuhani mwaminifu Ezra anatayarisha moyo wake juu akuwe tayari kutii Sheria ya Mungu na kuiambia wengine

    • Yoh 14:31—Yesu anaonyesha juu ya nini anafanya mambo vile tu Baba yake alimuambia

Nini njo inapaswa kutuchochea kumutii Yehova na Yesu?

Namna gani utii unaonyesha kama tuko na imani?

Ro 1:5; 10:​16, 17; Yak 2:​20-23

Ona pia Kum 9:23

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 6:​9-22; Ebr 11:7—Noa anaonyesha imani yake kwa kujenga safina vile Yehova alimuomba, “ni vile alifanya kabisa”

    • Ebr 11:​8, 9, 17—Abrahamu anaonyesha imani kwa kutii amri ya Yehova ya kutoka Uru na ya kutoa mwana wake

Namna gani Yehova anakuwaka nabariki wale wenye kumutii?

Yer 7:23; Mt 7:21; 1Yo 3:22

Kutokutii kunaletaka matokeo gani?

Ro 5:19; 2Te 1:​8, 9

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

Juu ya nini tunapaswa kumutii Yesu Kristo?

Mwa 49:10; Mt 28:18

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

Juu ya nini Wakristo wanakuwaka natii wale wenye kuongoza mu kutaniko ya Kikristo?

Juu ya nini bibi Mukristo anapaswa kujitiisha kwa bwana yake?

Juu ya nini watoto wanapaswa kutii wazazi wao?

Mez 23:22; Efe 6:1; Kol 3:20

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 37:​3, 4, 8, 11-13, 18—Kijana Yosefu anamutii baba yake na anafanya safari ya kuenda kuona ndugu zake hata kama wanamuchukiaka

    • Lu 2:51—Yesu anaendelea kutii Yosefu na Maria wenye hawako wakamilifu hata kama yeye ni mukamilifu

Juu ya nini ni muzuri kumutii mukubwa yetu wa kazi hata wakati wengine hawatuone?

Juu ya nini Wakristo wanakuwaka natii serikali?