Amani
Nini njo inaonyesha kama Yehova anaonaka amani kuwa ya maana?
Nini njo inaweza kutusaidia tukuwe na amani zaidi?
Zb 119:165; Isa 48:17, 18; Ro 12:17-21; Flp 4:6-9
Ona pia Yoh 16:33; Efe 6:14, 15; Kol 3:15
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Mwa 32:9-21; 33:1-4—Yakobo anafanya yake yote juu akuwe na amani pamoya na ndugu yake, Esau
Mt 5:23-26—Yesu anaonyesha kama amani ni jambo ya maana sana na anaonyesha faida ya kufanya amani