Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kimbelembele

Kimbelembele

Met 11:2; 13:10

Tazama pia Met 21:24

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 2Sa 6:​6, 7—Kwa kimbelembele Uza anajaribu kuliweka sawa sanduku takatifu la Yehova; Yehova anamuua kwa sababu ya tendo lake lisilo la heshima

    • 2Nya 26:​16-21—Mfalme Uzia anaadhibiwa kwa sababu ya matendo na mtazamo wake wa kimbelembele