Kimbelembele
Tazama pia Met 21:24
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
2Sa 6:6, 7—Kwa kimbelembele Uza anajaribu kuliweka sawa sanduku takatifu la Yehova; Yehova anamuua kwa sababu ya tendo lake lisilo la heshima
2Nya 26:16-21—Mfalme Uzia anaadhibiwa kwa sababu ya matendo na mtazamo wake wa kimbelembele