Kiburi
Kiburi; majivuno
Zb 138:6; Met 16:5, 18; Yak 4:6, 16
Tazama pia Met 21:4
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
Est 5:9-14; 7:9, 10—Hamani mwenye kiburi anahisi amevunjiwa heshima Mordekai anapokataa kumwinamia, na mwishowe kiburi cha Hamani kinasababisha auawe
Eze 28:11-15, 17, 19—Kwa sababu anategemea utajiri na nguvu zake, mfalme wa Tiro anakuwa na kiburi na mwishowe anaangamizwa