Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kiburi

Kiburi

Kiburi; majivuno

Zb 138:6; Met 16:​5, 18; Yak 4:​6, 16

Tazama pia Met 21:4

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Est 5:​9-14; 7:​9, 10—Hamani mwenye kiburi anahisi amevunjiwa heshima Mordekai anapokataa kumwinamia, na mwishowe kiburi cha Hamani kinasababisha auawe

    • Eze 28:​11-15, 17, 19—Kwa sababu anategemea utajiri na nguvu zake, mfalme wa Tiro anakuwa na kiburi na mwishowe anaangamizwa