Usawaziko
Kwa nini Wakristo wanapaswa kuonyesha usawaziko?
Tazama pia 1Ti 3:2, 3
Masimulizi ya Biblia yanayohusika:
Mwa 18:23-33—Kwa subira Yehova anamruhusu Abrahamu amuulize maswali kuhusu uharibifu wa Sodoma na Gomora
Mwa 19:16-22, 30—Yehova anamwonyesha Loti usawaziko kwa kumruhusu akimbilie Soari badala ya milimani
Mt 15:21-28—Yesu anaonyesha usawaziko kwa kukubali ombi la mwanamke Mfoinike aliyeonyesha imani ya pekee