Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Usawaziko

Usawaziko

Kwa nini Wakristo wanapaswa kuonyesha usawaziko?

Flp 4:5; Tit 3:2; Yak 3:17

Tazama pia 1Ti 3:​2, 3

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 18:​23-33—Kwa subira Yehova anamruhusu Abrahamu amuulize maswali kuhusu uharibifu wa Sodoma na Gomora

    • Mwa 19:​16-22, 30—Yehova anamwonyesha Loti usawaziko kwa kumruhusu akimbilie Soari badala ya milimani

    • Mt 15:​21-28—Yesu anaonyesha usawaziko kwa kukubali ombi la mwanamke Mfoinike aliyeonyesha imani ya pekee