Burudani
Je, inafaa kwa Wakristo kupumzika na kufurahia tafrija au burudani ya aina fulani?
Simulizi la Biblia linalohusika:
Mk 6:31, 32—Ingawa Yesu alikuwa na kazi nyingi, alipendekeza yeye na wanafunzi wake watafute mahali ambapo wanaweza kupumzika
Ni kanuni gani zinazoweza kutusaidia kutanguliza utendaji wa kiroho badala ya tafrija?
Mt 6:21, 33; Efe 5:15-17; Flp 1:9, 10; 1Ti 4:8
Tazama pia Met 21:17; Mhu 7:4
Kwa nini tunapaswa kuepuka burudani au tafrija zinazochochea mwenendo mpotovu?
Kwa nini tunapaswa kuepuka burudani zinazochochea ugomvi na roho ya mashindano?
Kwa nini tunapaswa kuepuka burudani zinazochochea ukatili?
Wakristo wanawezaje kujua ikiwa utani wa aina fulani unafaa?
Kwa nini tunapaswa kuzingatia dhamiri za wengine tunapofanya maamuzi kuhusu burudani na tafrija?