Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kujizuia

Kujizuia

Yehova anaonyeshaje sifa ya kujizuia?

Ni katika sehemu gani za maisha yetu tunahitaji sifa ya kujizuia?

Met 16:32; 25:28; 1Ko 9:​25, 27

Tazama pia 2Ti 2:​23-25; Tit 1:​7, 8

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 2Sa 16:​5-14—Mfalme Daudi anaonyesha sifa ya kujizuia Shimei anapomtukana na kumvunjia heshima sana

    • 1Pe 2:​21-23—Mtume Petro anaelezea jinsi Yesu alivyoonyesha sifa ya kujizuia kwa njia ya pekee alipochokozwa na kuteswa

Ni nini kitakachotusaidia kuimarisha sifa yetu ya kujizuia?

Lu 11:​9-13; Gal 5:​22, 23; Efe 4:​23, 24; Kol 4:2

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Lu 11:​5-8—Yesu anakazia umuhimu wa kuendelea kuomba ili tupate msaada