Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kumaliza Matatizo ya Kutoelewana na Wengine

Kumaliza Matatizo ya Kutoelewana na Wengine

Wakati mutu anatutendea mubaya, juu ya nini tunapaswa kuepuka kukasirika ao kumurudishia ubaya?

Mez 20:22; 24:29; Ro 12:​17, 18; Yak 1:​19, 20; 1Pe 3:​8, 9

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 1Sa 25:​9-13, 23-35—Wakati Nabali anamutukana Daudi na watu wake na anakatala kuwatolea musaada, bila kufikiri, Daudi anaamua kumuua yeye na watu wa nyumba yake, lakini shauri ya hekima ya Abigaili inasaidia Daudi aepuke hatia ya damu

    • Mez 24:​17-20—Kwa kuongozwa na roho, Mufalme Sulemani anaambia watu kama Yehova anasikiaka mubaya wakati tunafurahi juu ya magumu ya maadui wetu; kuliko kufanya vile, tunapaswa kuacha mambo mu mikono yake

Kama Mukristo anakosana na mutu, anapaswa kumuwekea kinyongo ao kuepuka kuzungumuza naye tena?

Law 19:​17, 18; 1Ko 13:​4, 5; Efe 4:26

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Mt 5:​23, 24—Yesu anasema kama tunapaswa kufanya yetu yote juu ya kufanya amani na ndugu mwenye tulikosana naye

Wakati mutu anatukosea, upendo unapaswa kutusukuma tufanye nini?

Juu ya nini tunapaswa kusamehe hata wale wenye wanatutendea mubaya mara mingi, kama wanatubu kikweli?

Kama mutu fulani anatutendea mubaya sana mupaka tushindwe kuachilia ile jambo; kwa mufano, anatusingizia ao anatuibia, ni nani anapaswa kuzungumuza na ule mutu na kwa kusudi gani?

Mt 18:15

Ona pia Yak 5:20

Kama mutu mwenye alituibia ao kutusingizia anakatala kutusikia wakati tunaenda kuzungumuza naye, tunapaswa kufanya nini?