Useja
Juu ya nini mwenye hayaoa ao kuolewa anaweza kuona ile kuwa zawadi?
Juu ya nini ni mubaya kukaza Mukristo kuoa ao kuolewa?
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Ro 14:10-12—Mutume Paulo anafasiria juu ya nini ni mubaya kuhukumu Mukristo mwenzetu
-
1Ko 9:3-5—Mutume Paulo iko na haki ya kuoa; lakini, kubakia bila kuoa kunamusaidia ajitoe sana mu utumishi wake
-
Mwenye hayaoa ao kuolewa anapaswa kuwaza kama juu akuwe na furaha mu maisha inaomba kuoa ao kuolewa?
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Amu 11:30-40—Mutoto mwanamuke wa Yefta anabakia bila kuolewa, na iko na maisha yenye furaha
-
Mdo 20:35—Yesu hakuoaka; lakini maneno yake inaonyesha kama alikuwa na furaha juu alijitoa sana kwa ajili ya wengine
-
1Te 1:2-9; 2:12—Mutume Paulo, mwenye hayaoa, anaonyesha namna utumishi wake ulimuletea furaha juu alisaidia watu wengi kumujua Yehova
-
Juu ya nini watumishi wa Mungu wenye hawayaoa ao kuolewa wanapaswa kuendelea kuwa na mwenendo safi?
1Ko 6:18; Gal 5:19-21; Efe 5:3, 4
-
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
-
Mez 7:7-23—Mufalme Sulemani anaonyesha matokeo ya mubaya yenye kijana mwanaume anapata juu anafuata mwanamuke kahaba
-
Wim 4:12; 8:8-10—Mushulami anaendelea kuwa na mwenendo safi juu hakupenda kuvunja kanuni za Yehova kuhusu ndoa
-
Ni mu hali gani fulani inaweza kuwa jambo ya hekima kuamua kuoa ao kuolewa?
Ona pia 1Te 4:4, 5