Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Useja

Useja

Juu ya nini mwenye hayaoa ao kuolewa anaweza kuona ile kuwa zawadi?

Juu ya nini ni mubaya kukaza Mukristo kuoa ao kuolewa?

1Ko 7:​28, 32-35; 1Te 4:11

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Ro 14:​10-12—Mutume Paulo anafasiria juu ya nini ni mubaya kuhukumu Mukristo mwenzetu

    • 1Ko 9:​3-5—Mutume Paulo iko na haki ya kuoa; lakini, kubakia bila kuoa kunamusaidia ajitoe sana mu utumishi wake

Mwenye hayaoa ao kuolewa anapaswa kuwaza kama juu akuwe na furaha mu maisha inaomba kuoa ao kuolewa?

1Ko 7:8

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Amu 11:​30-40—Mutoto mwanamuke wa Yefta anabakia bila kuolewa, na iko na maisha yenye furaha

    • Mdo 20:35—Yesu hakuoaka; lakini maneno yake inaonyesha kama alikuwa na furaha juu alijitoa sana kwa ajili ya wengine

    • 1Te 1:​2-9; 2:12—Mutume Paulo, mwenye hayaoa, anaonyesha namna utumishi wake ulimuletea furaha juu alisaidia watu wengi kumujua Yehova

Juu ya nini watumishi wa Mungu wenye hawayaoa ao kuolewa wanapaswa kuendelea kuwa na mwenendo safi?

1Ko 6:18; Gal 5:​19-21; Efe 5:​3, 4

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mez 7:​7-23—Mufalme Sulemani anaonyesha matokeo ya mubaya yenye kijana mwanaume anapata juu anafuata mwanamuke kahaba

    • Wim 4:12; 8:​8-10—Mushulami anaendelea kuwa na mwenendo safi juu hakupenda kuvunja kanuni za Yehova kuhusu ndoa

Ni mu hali gani fulani inaweza kuwa jambo ya hekima kuamua kuoa ao kuolewa?