Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kujifunza

Kujifunza

Juu ya nini Mukristo anapaswa kujifunza Neno ya Mungu kwa ukawaida?

Zb 1:​1-3; Mez 18:15; 1Ti 4:6; 2Ti 2:15

Ona pia Mdo 17:11

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Zb 119:​97-101—Mwandikaji wa zaburi anaonyesha namna anapenda Neno ya Mungu, na anazungumuzia faida ya kuitumikisha mu maisha yake

    • Da 9:​1-3, maelezo ya chini.—Kujifunza maandishi matakatifu kunasaidia nabii Danieli kujua kama kipindi ya uhamisho ya Waisraeli ya miaka 70 inakaribia kumalizika

Juu ya nini tunapaswa kuendelea kuongeza ujuzi?

Ebr 6:​1-3; 2Pe 3:18

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mez 4:18—Vile tu mwangaza wa asubui unaongezekaka pole kwa pole, ni vile uelewaji wa kweli za Biblia unaongezekaka kadiri Yehova iko nafunua kweli

    • Mt 24:​45-47—Yesu anasema kama ataweka “mutumwa muaminifu na mwenye busara” mwenye atakuwa na kazi ya kutoa chakula ya kiroho kwa wakati wenye kufaa mu siku za mwisho

Juu ya nini tunapaswa kuona hekima ya Biblia kuwa ya juu zaidi kuliko hekima yenye kuwa mu kitabu yoyote ya filozofia ya wanadamu?

Yehova anaahidi nini kwa wale wenye kujifunza Biblia juu ya kumufurahisha?

Juu tupate faida mu funzo yetu ya pekee, tunapaswa kusali kuhusu nini?

Juu ya nini tunapaswa kutumikisha kabisa chakula ya kiroho yenye “mutumwa muaminifu na mwenye busara” anatutolea?

Juu ya nini tunapaswa kutafuta ujuzi wenye hauna makosa wa Biblia?

Juu ya nini ni jambo ya lazima kuwa na hekima na uelewaji?

Juu ya nini tunapaswa kusoma polepole na kufikiri juu ya mambo yenye tuko nasoma?

Juu ya nini tunapaswa kufikiria namna ya kutumikisha Neno ya Mungu mu maisha yetu?

Juu ya nini tunapaswa kufikiri sana juu ya namna tunaweza kuambia wengine mambo yenye tunajifunza?

Kujifunza kweli za maana mara kwa mara kunaweza kutusaidia namna gani?

2Pe 1:13; 3:​1, 2

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

Kuzungumuzia Neno ya Mungu mu familia kunaweza kuleta faida gani?

Efe 6:4

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 18:​17-19—Yehova anapenda Abrahamu afundishe watu wa nyumba yake wafuatie haki mu maisha yao

    • Zb 78:​5-7—Mu Israeli, kila kizazi inapaswa kufundisha kizazi ya kufuata juu waendelee kumutegemea Yehova

Kujifunza pamoya na kutaniko kunatusaidiaka namna gani?