Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Vita

Vita

Kwa nini tunapaswa kutarajia kwamba kutakuwa na vita vingi katika nyakati zetu?

Mt 24:​3, 4, 7, 8

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Da 11:40—Nabii Danieli anatabiri kwamba katika siku za mwisho serikali mbili zenye nguvu zingeendelea kusukumana au kushindana

    • Ufu 6:​1-4—Katika maono, mtume Yohana anamwona farasi mwenye rangi ya moto anayefananisha vita, na yule aliyeketi juu yake anapewa ruhusa ya “kuondoa amani duniani”

Yehova atafanya nini kuhusu vita vya wanadamu?

Wakristo wana msimamo gani kuhusu vita vya mataifa?

Yehova Mungu na Mfalme-Shujaa aliyewekwa rasmi wanapigana vita vya aina gani?

Vita pekee ambavyo Wakristo wa kweli wanapigana ni vipi?

Wakristo wanaweza kuepukaje mtazamo unaoweza kusababisha vita, ugomvi, au kulipiza kisasi katika kutaniko?