Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Vita

Vita

Juu ya nini tunaweza kutazamia kama mu siku zetu kutakuwa vita mingi?

Mt 24:​3, 4, 7, 8

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Da 11:40—Nabii Danieli anaona falme mbili zenye kupingana ziko nasukumana mu siku za mwisho

    • Ufu 6:​1-4—Mutume Yohana anaona farasi mwenye rangi ya moto, yenye inafananisha vita, na ule mwenye kuikala juu yake anapewa ruhusa “ya kutosha amani katika dunia”

Yehova atafanya nini na vita za wanadamu?

Wakristo wanapaswa kuwa na musimamo gani kuhusu vita ya mataifa?

Ni mu vita gani njo Yehova na Yesu wamejiingiza?

Wakristo wanapaswa kupigana vita gani?

Mu kutaniko, namna gani Wakristo wanaweza kuepuka mambo yenye inaweza kuleta vita, sawa vile mizozo ao kulipisha kisasi?